Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENT FOR RENT – CHANGANYIKENI (UDSM) 📍
📍 Location: Changanyikeni (UDSM) – Boda moja tu hadi Barabara ya Lami.
📢 NOTE: Mpangaji wa sasa anatoka tarehe 8 mwezi huu. Unaweza kuja kuiona na kufanya malipo mapema ili ku-reserve apartment yako.
✨ Modern • Comfortable • Secure Living
🔑 PROPERTY FEATURES
🛏️ 1 Master Bedroom (Self-Contained)
🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
🍽️ Jiko la kisasa lenye Built-In Cabinets
🔥 Kitchen Stove Installed
❄️ Full Air Conditioning katika vyumba vyote
⚡ UTILITIES
💧 Maji – Prepaid Meter
💡 Umeme (LUKU) – Prepaid Meter
💰 RENTAL DETAILS
🏠 Kodi: TZS 500,000 kwa Mwezi
📅 Malipo: Miezi 6 Mbele
💵 Deposit (Caution Money): Kodi ya Mwezi 1
🛡️ SERVICE CHARGE
✨ TZS 200,000 kwa Mwaka (Inajumuisha Cleaning Services & 24/7 Security)
📌 SERVICE FEES
👀 Viewing Fee: TZS 30,000 (Malipo ya mara moja hadi upate apartment.)
🤝 Brokerage Fee: Sawa na Kodi ya Mwezi 1 (Hulipwa tofauti.)
📲 FOR VIEWING & BOOKINGS
📞 Call / WhatsApp: 0744 701 813
✨ Reserve apartment yako mapema na ufurahie kuishi katika mazingira salama, ya kisasa na yenye urahisi wa kufikika karibu na UDSM na Mlimani City.
📍 Follow nyumbatz3 kwa apartments, nyumba na viwanja vipya vinavyopatikana kila siku.
#Changanyikeni #UDSM #ApartmentForRent #DarEsSalaam #HouseForRent RentalTZ NyumbaZaKupanga NyumbaTz3 RealEstateTanzania Apartment DarRen















