Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
APPARTIMENT INAPANGISHWA NI MASTER BEDROOM, SEBULE NA JIKO ; 400k Full Ac
LOCATION: Goba Njia nne- Nyumba ipo kama dakika Tano kutembea
MAELEZO YA NYUMBA:
⚡ Master bedroom Nzuri sana
⚡ Sebule kubwa, ya kisasa na nadhifu
⚡ Jiko la kisasa lenye makabati
⚡ Parking kubwa na salama
⚡ Umeme unajitegemea
⚡ Ipo barabara Karibu na Lami
⚡ Kodi: Tsh 400,000 kwa mwezi
⚡malipo kwa MIEZI 4
⭐Security Deposit: 200k (Inalipwa mara moja tu.)
GHARAMA NYINGINE:
⚡ Ada ya huduma: Tsh 30,000 (inalipwa mara moja tu)
⚡ Ada ya dalali: Kodi ya mwezi 1
#0620479264 CALL ONLY
#0766596981 whatssap only..















