Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo, Dar Es Salaam
Kariakoo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 500,000/month
Maelezo
Hii apartment ipo kariakoo mtaa wa likoma na mwonda ipo floor ya 10 lifth ipo ni chumba kimoja kikubwa ambacho ni master sebule jiko
Inafaa kuishi au ofice stoor
Inapangishwa laki 5 kwa mwezi kodi miezi 6
Wa kuwai awai chapu
Mawasiliano
#_call
#











