Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kikuyu, Dodoma

Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT NZURI MPYA ZINAPANGISHWA
๐ Mahali: Kikuyu
โจ Nyumba mpya, mazingira mazuri na tulivu
๐๏ธ Muundo
โข Chumba cha kulala (Master)
โข Sebule kubwa
โข Jiko la kisasa Linawekwa makabati
๐ฐ Kodi: Tsh 265,000 kwa Mwezi
โ Ulipi Maji,Usafi
๐ Namna ya Malipo: Kuanzia Miezi 4 Pamoja na Kodi ya Mwezi mmoja Analipia Mteja ( Mpangaji )
๐
Kuingia kuanzia: 01/06/2026
โจ Kuona na Kulipia Luska
๐ Huduma Zilizopo:
โข Umeme wa kujitegemea (LUKU)
โข Maji ya kisima yanapatikana muda wote
โข Nyumba ipo karibu na lami (ya pili kutoka barabara ya lami)
โข Eneo linawekewa paving blocks
โข Fensi ya umeme kwa usalama zaidi
๐ Mawasiliano:
โข 0787037986
โข 0757037986
๐ Karibu sana kwa maelezo zaidi na kupanga kuja kuangali












