Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Bucha, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿 #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA KIMARA BUCHA
––––––
📍 Kimara Bucha
🕒 Umbali wa 1km kutoka Stand ya Mwendo Kasi Bucha. Usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 tu, au kwa miguu ni takribani dakika 15 hadi getini.
#SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja Master Bedroom
🔹 Sebule kubwa na ya kisasa
🔹 Hakuna jiko
🔹 Umeme na maji vina Sub Meter binafsi
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
🔹 Fenced Compound yenye Car Parking kubwa sana
🔹 Mazingira ni salama, tulivu na rafiki kwa makazi
👉 Nyumba hii inafaulishwa kuona ndani na kufanya malipo luksa Funguo zipo muda wote kwa ajili ya kuonyesha nyumba. Mteja akiridhika hufanya malipo na kuhamia mara moja.
💰 GHARAMA
🔸 Kodi Tsh 200,000/= × 5 au (Unaingia kwa malipo ya miezi 6)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kwenda Kuona Nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347















