Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
450m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA โ KIMARA KOROGWE JIRAN NA LAMI
๐ฐ Kodi: TSh 500,000 kwa mwezi
๐ Mahali: Kimara Korogwe
โจ Mradi Mpya Kabisa!
Wa kwanza kulipa ndiye atakuwa wa kwanza kuhamia.
๐
Mkataba utaanza tarehe 01/08/2026.
๐ Umbali: Meta 450 tu kutoka barabara kuu.
โ๏ธ A/C kwenye vyumba vyote, na Heater itawekwa.
๐ Huduma BURE:
Maji
Wi-Fi
Usafi
Ulinzi
Laundry Service
Vifaa na Sifa za Nyumba
โ
Chumba kimoja cha Master (Self Contained)
โ
Sebule ya kisasa
โ
Jiko la kisasa lenye makabati (yatafungwa)
โ
A/C kwenye vyumba vyote
โ
Heater itawekwa
โ
Ndani ya fensi
โ
Maegesho ya magari
โ
Mazingira mazuri na tulivu
โ
Ulinzi wa uhakika
โ
LUKU ya kujitegemea
โ
Maji na umeme kutoka kwenye huduma kuu
Mawasiliano
๐ Simu: 0655256419
0688617926
Muhimu
๐ต kuonyesha nyumba: TSh 20,000 (hulipwa na mteja).
NB: Ada hii itaendelea kuwa halali hadi utakapopata nyumba unayoitaka.
๐ผ Commission ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja (hulipwa na mpangaji).
Masharti ya Malipo
โ๏ธ Miezi 6 ya kodi
โ๏ธ















