Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Apartment
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA
📍 Kimara suka .
🕒 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji/bodaboda zipo muda wote.
#SIFA ZA NYUMBA
🔸 Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
🔸Sebule kubwa
🔸 Jiko zuri na la kisasa
🔸 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔸 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
🔸 Fensi hamna & Parking kubwa na salama.
TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 180,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 3 tu.
GHARAMA
🔹 Kodi Tsh 180,000/= × (Miezi mitatu)
🔹 Malipo ya Dalali Tsh 180,000/=
🔹 Service Charge Tsh 20,000/=
simu 0786085637 wsp 0659336751















