Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
NEW APARTMENT HOUSE FOR
RENT CHUMBA_SEBLE_JIKO_CHOO
———————————————————
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
LOCATION MBEZI BEACH 🏖️
————————————————-
KODI TSH LAKI 800,000/= KWA MWEZI
————————————
MALIPO YA MIEZI. 6
————————————-
KUBWA YA KIBACHELA
————————————-
YENYE
Chumba kimoja kikubwa ambacho ni master Sebule jiko kubwa full makabati Mazuri Gypsum Tiles Umeme upo wa kujitegemea Maji yapo ya bomba 24hrs Pervingblocks Cars Parking Space Ipo
fencedapart
———————
Nione dalalibaraka_mbezibeach
CONTACT
Pia viwanja vinapatikana vya kununua
ghalama za kuona nyumba ni 30k















