Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT INAPANGISHWA - MBEZ
BEACH MAKONDE
Mahali: Dar es Salaam, Mbezi Beach (eneo tulivu na salama)
Kodi: Tsh 500,000/= kwa mwezi
Malipo: Miezi 4
m. Aina: New Apartment ya kibachela
Ina vyumba vifuatavyo:
- Chumba cha kulala
E Sebule
Jiko lenye makabati na AC
• Choo cha ndani
Huduma:
Umeme (LUKU yake)
• Maii saa 24
o Parking ipo
2 Fenced compound + Garden
Ukuta wa paving blocks
Nione dalalimbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏















