Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Magufuli, Dar Es Salaam
Aina
Apartment
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5km
Huduma na Sifa
Maelezo
Hiyo appartment ipo MBEZI KWA MAGUFULI/BR. YA GOBA karibu na MERU PETROL STATION itakua wazi kuanzia trh 25/07/2026π
Ni MASTER KUBWA, SEBULE na JIKO ZURI LA KISASA
>Makabati ya nguo yapo
>Makabati ya vyombo yapo
>Meter yake ya Dawasco
>Jiko la kisasa lenye makabati yake
>Ina LUKU yake peke yake
>Full Air condition, A/C
>Finishing ya kisasa(nje na ndani)
>Parking ya kutosha
>Garden & Maua
>Fensi ya kisasa kabisa
>Pevements nje kote
>Pagola ya kupumzika/kukutana na wageni wako
>Public TOILET ya nje zipo
>CCTV CAMERA ZIPO
>Karibu na LAMI dakika 5
NB:π
>Maji DAWASCO-FREEπ
>ULINZI -FREEπ
>KUZOA TAKA-FREEπ
>USAFI WA NJE-FREEπ
>KUTUNZA BUSTAN-FREEπ
>KODI YAEKE NI TSH 350,000 kwa Mwezi(1).
Tunapokeaπ
Miezi ( 6)-2,100,000/=
KARIBU SANAπ!
Service charge 20,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:















