Apartment (Furnished) ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
MASTER BEDROOM FOR RENT:
Fen
Maji yanaflow chooni
Inajitegemea/unaingia kivyako
Ina kitanda kama hautaki kinatolewa
Ipo floor ya Tano
Kodi ni sh 400k per month
Malipo ni kuanzia miezi minne na kuendelea
Location KARIAKOO STREET
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR















