Tafuta

Nyumba (Furnished) ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Sh. 190,000/month

Maelezo

๐Ÿ“Œ Lipia Kodi hata mwezi mmojammoja (Inakuwa wazi Kesho, kulipia Ruksa)

#Inapangishwa KIMARA KOROGWE

๐Ÿ“Œ Chumba master Kikubwa, Kodi ni 190,000/= *1

๐Ÿ“ Hela ya dalali 190,000/=
_______
___
#Maji BURE
#Umeme BURE

โ€ข Chumba Master Chenye Vitu Ndani. .. Kitanda, Godoro .....
โ€ข Sehemu kupumzika Shared

* Maji ndani
* Ndani ya fensi
* Parking

#Umbali wa dakika 12 kwa migu

#Nb: Anatakiwa bachelor
๐Ÿ“ Kama unavitu vyako haikufai
__________
Kupelekwa kuona 15,000/=

_

mr.shebby_dalali_kimarakorogwe

mr.shebby_dalali_kimarakorogwe

@mr.shebby_dalali_kimarakorogwe

View Listings
mr.shebby_dalali_kimarakorogwe