Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Dodoma Mipango Chuo


Huduma na Sifa
Maelezo
CHUMBA MASTER NA JIKO INAPANGISHWA
Mahali:Dodoma Mipango Chuo
Bei:150,000/=
Malipo:Miezi 3
✅Nyumba Iko Jirani Sana Na Usafiri Wa Umma
✅Umeme Unajitegemea Mwenyewe
✅Maji Yanatoka Muda Wote Masaa 24hrs
✅Wapangaji Wachache Sana Ndani Ya Fensi
✅Usalama Ni Uhakika Asilimia Mia 💯
✅Huduma Za Kijamii Zipo Zote Kwa Urahisi Sana
💣Gharama Za Kwenda Kuoneshwa Ni Tsh.15,000/=(Itadumu Mpk Utakapo Pata Chumba)
💰Bila Kusahau Malipo Ya Dalali Ambayo Atalipa Mteja.
Whatsapp Number/Call
NAPATIKANA DODOMA MJINI PIGA SIMU TUFIKE SITE TAJIRI.
#dodomatiktok #ikulumawasiliano #tanzania #wasafi #fypシ゚viral















