Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Goba Kwarobert, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
200,000/=Kwa hiyo Bei Unaiachaje Kwa Mfano hembu fanya kuwahi tumalizane
✔️Chumba Master
✔️Sebule Kubwa
✔️Jiko
Public Toilet
GOBA KWAROBERT
NB: Bei anataka 220k ila nashauli unaweza kumuomba uendelee na bei ya Zamani ambayo ni 200k
MAWASILIANO
0682 402 327 📶
0653 267 999 📶 ya WHATSSAP
Service charge 20,000/=
.















