Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000/month

Maelezo

nyumba inapangishwa ipo kimara korogwe barabara ya zege

Chumba master sebule jiko

350,000 x 6

inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani

ina Reserve Tank zipo nyumba 6 ndani ya fence

survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba

O677370515 whatsapp number
O688991244 NORMAL CALL

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam