Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

Huduma na Sifa

Umeme
Luku ya Ku-share
Maji
Inajitegemea
Electricity Shared With Two People
Water Shared

Maelezo

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO DK 12
KUTOKA STEND KIMARA MWISHO PIKIPIKI ELF 1
NA BAJAJI NAZO ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA ELFU 20
UKIIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA

SIFA YA NYUMBA
==============

hii ni chumba master tuu
Yaani ni chumba na choo ndani
Umeme mna shilikiana watu wawilli 2
Na maji piya
Chumba hiki hapa kwenye fensi yaani hakuna fensi Ira kipo Mazingira mazuri sana

KODI YAKE KWA MWEZI
====================

kwa mwezi ni kodi ya laki moja nanusu tuu/=

(150,000)

X 6
CALL

WHATSAPP



DALALI MASELE KIMARA UBUNGO

dalali_masele_kimara_ubungo

@dalali_masele_kimara_ubungo

View Listings
DALALI MASELE KIMARA UBUNGO