Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 170,000/month

Huduma na Sifa

Maelezo

🇹🇿 CHUMBA MASTER NA JIKO NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA

📍 Kimara suka .
🕒 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji 1000/bodaboda 1500 zipo muda wote.

#SIFA YA CHUMBA

&! Chumba kimoja (Master kubwa yenye feni na jiko) kubwa sana
&! Umeme & Maji (vinajitegemea )
&! Maji yanapatikana
&! Masaa 24 pia yana flow
ndani
&!Ipo ndan ya Fensi
&! Parking kubwa
Yenye nafasi

TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 170,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 6 tu.

GHARAMA
£! Kodi Tsh 170,000/= × (Miezi sita)
£! Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
£! Service Charge Tsh 20,000/=
SIMU

Upendo Tarimo

dalali_tarimo_ubungo_kimara

@dalali_tarimo_ubungo_kimara

View Listings

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

Upendo Tarimo