Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 170,000/month

Maelezo

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ CHUMBA MASTER NA JIKO NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA

πŸ“ Kimara suka .
πŸ•’ 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji 1000/bodaboda 1500 zipo muda wote.

#SIFA YA CHUMBA

&! Chumba kimoja (Master kubwa yenye feni na jiko) kubwa sana
&! Umeme & Maji (vinajitegemea )
&! Maji yanapatikana
&! Masaa 24 pia yana flow
ndani
&!Ipo ndan ya Fensi
&! Parking kubwa
Yenye nafasi

TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 170,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 6 tu.

GHARAMA
Β£! Kodi Tsh 170,000/= Γ— (Miezi sita)
Β£! Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
Β£! Service Charge Tsh 20,000/=

##
##

DALALI LYIMO KIMARA

dalal_lyimo_kimara_korogwe

@dalal_lyimo_kimara_korogwe

View Listings

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

DALALI LYIMO KIMARA