Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
š¹šæ CHUMBA MASTER NA JIKO NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA
š Kimara suka .
š 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji
#SIFA YA CHUMBA
⢠Jiko
⢠Chumba kimoja Master kubwa sana
* Umeme & Maji (vinajitegemea )
* Maji yanapatikana
* Masaa 24 pia yana flow
ndani
* Ipo ndan ya Fensi
* Parking kubwa
Yenye nafasi
GHARAMA
š Kodi Tsh 170,000/= Ć (Miezi sita)
š Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
š Kupelekwa kuona Tsh 20,000/=















