Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
kinyerezi G7 dk 5 kwa miguu chumba sebule jiko lenye makabati na choo ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani kodi 300K X6 maji moto maji baridi survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba kwa mawasiliano piga simu ==== 0683234124 0718367179













