Tafuta
-
-

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi Shell, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 120,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Uzio
Private Kitchen

Maelezo

🏠 MASTER ROOM INAPANGISHWA – KINYEREZI SHELL (ESTHER)

πŸ“ Ipo umbali wa takriban KM 1 kutoka kituoni (au boda dakika chache tu)
πŸ‘₯ Mpangaji ni watatu tu (mazingira tulivu na salama)

✨ Sifa za nyumba:

* Master room kubwa (self-contained)
* Ina jiko lake binafsi 🍳
* Ipo ndani ya fence
* Maji na umeme vinajitegemea
* Mazingira mazuri na ya kisasa (exasa)

πŸš— Gari haliingii kulala ndani

πŸ’° Kodi: Tsh 120,000 kwa mwezi
πŸ“† Malipo: Miezi 3 advance (fixed)

πŸ“ Inafaa kwa bachelor au mtu anayependa utulivu
Service charge 10,000/=.

πŸ“ž Wasiliana: +255 688 412 890