Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
29 days ago
Sh. 600,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master sebule na jiko
600,000 miezi 6
Umeme Maji unajitegemea
Ndani ya fence na parking kubwa
Mbezibeach makonde upande wa Chini
Service charge 20k















