Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 27,000,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba hii ni
Chumba sebule choo jiko tuu
Luku yako pekeyako
Maji yapo ndani masaa 24 pekeyako
Mazingira utulivu sana sana
Kodi sh laki 270 //,👈👈
Ilipo njia ya mbezi bechi kituo ni makonde 👈
Kwenye fensi zipo nyumba mbili tuu
Mbali mbali
Utulivu sana sana
#















