Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Jogoo, Dar Es Salaam

Mbezi, Dar Es Salaam
2 months ago
Sh. 400,000/month
Maelezo
💥Chumba master , Sebule na jiko
💥400,000 miezi 6
💥Umeme Maji unajitegemea
💥Ndani ya Fence na Parking kubwa
💥Mbezi beach Jogoo dakika 4 kutoka lami
💥Service charge 20k















