Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Makonde, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1000m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
#CHUMBA_SEBLE_JIKO_CHOO
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI-MBEZI, BEACH, MAKONDE
PKPK 1000 KUTOKA KITUONI
KODI TSH LAKI 450,000/= KWA MWEZI
MALIPO YA MIEZI. 4
KUBWA YA KIBACHELA,
YENYE
Chumba kimoja kikubwa ambacho ni master #Sebule
#jiko_kubwa full makabati Mazuri
#Gypsum #Tiles Umeme upo wa kujitegemea
Maji yapo ya bomba 24hrs Pervingblocks
Cars Parking Space ipo
fencedapart
Nione dalalimbezibeach_rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏















