Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mipango Zam Zam, Dodoma


Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1km — Arusha Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
CHUMBA MASTER NA JIKO INAPANGISHWA
Mahali:Dodoma Mipango Zam Zam
Bei:100,000/=
Malipo:Miezi 3
✅Wapangaji Wapo Nane Tu Kila Mmoja Na Mambo Yake
✅Maji Duwasa Yanatoka Muda Wote Masaa 24hrs Na Hulipii
✅Umeme Kuna Submitters Unalipa Kulingana Na Matumizi
✅Usalama Ni Uhakika Asilimia Mia 💯
✅Umbali Kutoka Barabara Ya Arusha Road 1Km
✅Huduma Zote Za Kijamii Zipo Zote Kwa Urahisi
💣Gharama Za Kwenda Kuoneshwa Ni Tsh.15,000/=(Itadumu Mpk Utakapo Pata Chumba)
💰Bila Kusahau Malipo Ya Dalali Ambayo Atalipa Mteja.
Whatsapp Number/Call
NAPATIKANA DODOMA MJINI PIGA SIMU TUFIKE SITE TAJIRI.
#ikulumawasiliano #tanzania #dodoma #yanga #fypシ゚viral















