Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Sinza Legho, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba kimoja kinapangishwa kipo sinza legho choo unashea mazingira tulivu kinapangishwa laki 1 kwa mwezi kodi miezi 6 wakuwah awh hakina masharti ingia mda wote toka mda wote karibuni
Service charge yakuona nyumba ni shi 30000 pia nakodi yamwezi 1 wadalali
Ndugu mteja unaweza kupiga simu ikawa haipatikani
Bolt andika dalali ngosha madukani utafika ofisin karibu sana
Call
#0716938128_0692198834☎️📞call
#0760097834_ whatsAp















