Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam

Tabata, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 250,000/month
Maelezo
🏠 CHUMBA MASTER KINAPANGISHWA – TABATA KIMANGA 🏠
Unatafuta nyumba nzuri kwa bei nafuu? Hiki hapa!
✅ Chumba Master
✅ Sebule
✅ Jiko
💰 Bei: TSh 250,000 kwa mwezi
📍 Location: Tabata Kimanga
📞 Piga simu: 06595O7709 maelezo zaidi na kupanga kuja kukiona.
Wahi sasa kabla hakijapangishwa!















