Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Maelezo
π π₯ CHUMBA MASTER + SEBULE + JIKO INAPANGISHWA β TABATA SEGEREA! π₯π
Unatafuta nyumba yenye bei rafiki na location nzuri? Hii ni nafasi yako! π
π LOCATION: Tabata Segerea β Sanene, karibu na Police Jamii
π‘ Ina:
ποΈ Chumba Master
ποΈ Sebule
π³ Jiko
π° BEI: TSH 150,000/= kwa mwezi
Eneo ni zuri na linafikika kwa urahisi. Nyumba hii inafaa kwa mtu anayehitaji sehemu nzuri ya kuishi kwa gharama nafuu.
π Kwa mawasiliano na kuiona nyumba, piga simu:
β‘ Wahi mapema kabla haijapangishwa!
π Nyumba nzuri, bei nzuri, location nzuri!











