Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam

Maelezo
APARTMENT
INAPANGISHWA - MBEZI BEACH MAKONDE
9 Mahali: Dar es Salaam, Mbezi Beach (eneo tulivu na salama)
Kodi: Tsh 500,000/= kwa mwezi
Malipo: Miezi 4
Aina: New Apartment ya kibachela
Ina vyumba vifuatavyo:
• Chumba cha kulala
•) Sebule
•l Jiko lenye makabati na AC
•Choo cha ndani
Huduma:
Umeme (LUKU yake)
• Maji saa 24
& Parking ipo
Fenced compound + Garden
Ukuta wa paving blocks
Nione dalalimbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏















