Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam









Tabata, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 300,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 300000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking, reserve water tank, pia fence ipo na kutoka barabarani dakika 5 hadi 8 hivi, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi mwisho dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















