Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 Apartment Inapangishwa
location tabata Segerea
takribani dakika 10 kutoka kituoni ✨
____________________________
✅ chmba master sebule A/C
😍 jiko makabati
🍳pazuri sana
🏡 Ndani ya fence
👨👩👧👦 wapangaji ni 8 tu
🚗Paving
🔐 Usalama upo wa kutosha
💧 Maji na umeme vinajitegemea
💰 Kodi: TSh 350,000 /= kwa mwezi
🤝 Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja
🧾 Service charge: TSh 20,000/=
06595O7709















