Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Changanyikeni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ 2 Bedroom Apartment for Rent β TZS 750,000/month
π Changanyikeni β Near University of Dar es Salaam & Mlimani City
β¨ Furahia maisha mazuri katika apartment nzuri iliyopo Changanyikeni! β¨
πΉ Maelezo ya Nyumba:
β Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
β Sebule kubwa na yenye hewa ya kutosha
β Jiko zuri lenye makabati
π Eneo:
β Nyumba ipo barabara ya lami
β Karibu na UDSM
β Karibu na Mlimani City
πΉ Huduma Zingine:
β Parking inapatikana
β Ulinzi wa saa 24
β Heater available
π° Masharti ya Malipo:
β Kodi: TZS 750,000 kwa mwezi
β Malipo ya miezi 3
β Security deposit ya mwezi 1
β
Huduma za Bure:
β Maji bure
β Usafi bure
β Ulinzi bure
β Taka bure
π° Gharama Nyingine:
β Service charge: TZS 30,000 (mara moja tu)
β Dalali: Kodi ya mwezi mmoja
π Mawasiliano:
Piga / WhatsApp: +255 692 932 076















