Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Parking Space
Uzio
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Maji
Sebule

Maelezo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #APARTMENT NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA โ€“ KIMARA KOROGWE

๐Ÿ“ Location: Kimara Korogwe
1km umbali kutoka stand ya mwendo kasi kwa mguu dakika 10_12 tu bodaboda 1000 tu mpaka getini.

๐Ÿก SIFA ZA NYUMBA.
๐Ÿ”ธ Vyumba 2 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
๐Ÿ”ธ Sebule kubwa na nzuri.
๐Ÿ”ธ Jiko la kisasa.
๐Ÿ”ธ Public toilet ya ndani.
๐Ÿ”ธ Umeme na maji vinajitegemea.
๐Ÿ”ธ Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs.
๐Ÿ”ธ Fenced compound yenye car parking kubwa sana.

GHARAMA
๐Ÿ”น Kodi: Tsh 350,000 ร— 6 (Miezi sita)
๐Ÿ”น Malipo ya dalali: Tsh 350,000
๐Ÿ”น Service charge: Tsh 20,000
๐Ÿ‘‰ Gharama ya mlinzi kwa mwezi: Tsh 25,000 (kwa ajili ya usalama wa eneo)

0679 997610