Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam
Aina
Apartment
Vyumba
2
Barabara ya Karibu
1.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENT ZINAPANGISHWA – MBEZI KWA MSUGURI UMBALI KM 1.5
Zinapangishwa apartment 2 zenye kujitegemea, zipo ndani ya fensi katika mazingira mazuri na salama.
✅ Vyumba 2 vikubwa vya kulala
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Public toilet
✅ Barabara ya lami hadi karibu na nyumba (unaacha lami unaingia moja kwa moja nyumbani)
💰 Kodi: TZS 450,000 kwa mwezi × 6
📍 Location: Mbezi Magufuli KM 1.5
Bajaji 500 ukishuka tu unapiga teke mlango
Boda 1000 tu
👀 kwenda kuona nyumba: TZS 20,000
📝 Dalali: Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654 101 710
0787 205 300















