Tafuta

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam

Sh. 450,000/month

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Uzio
Public Toilet
Karibu na Barabara ya Lami
Jiko

Maelezo

🏡 APARTMENT ZINAPANGISHWA – MBEZI KWA MSUGURI UMBALI KM 1.5

Zinapangishwa apartment 2 zenye kujitegemea, zipo ndani ya fensi katika mazingira mazuri na salama.
✅ Vyumba 2 vikubwa vya kulala
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Public toilet
✅ Barabara ya lami hadi karibu na nyumba (unaacha lami unaingia moja kwa moja nyumbani)

💰 Kodi: TZS 450,000 kwa mwezi × 6

📍 Location: Mbezi Magufuli KM 1.5

Bajaji 500 ukishuka tu unapiga teke mlango
Boda 1000 tu

👀 kwenda kuona nyumba: TZS 20,000

📝 Dalali: Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja

Contact:
0654 101 710
0787 205 300

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment