Apartment ya vyumba viwili inapangishwa tabata kinyerezi kibaga zabika, Dar Es Salaam

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
4 days ago
Sh. 350,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Maelezo
Hii apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, jiko, umeme na maji unajitegemea, hapa kuna apartment 3 tu ndani ya fence, Location tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
