Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Muhanga, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Huduma na Sifa

Maji
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea

Maelezo

Hii apartment inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom. sebule. Jiko. Public toilet. Umeme na maji unajitegemea. Parking bubwa. Usalama wa kutosha. Hapa kuna apartment 4 tu ndani ya fence. Location tabata kinyerezi muhanga dar es salaam

Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii