Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam









Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
2
Barabara ya Karibu
3m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment hii inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking, reserve water tank, pia fence ipo, peving block, kutoka kituoni dakika 3 hadi 5 hivi, hii nyumba ipo maeneo ya tabata kinyerezi mwisho dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















