Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tandika, Dar Es Salaam
Maelezo
๐กโจ APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA โจ๐ก
๐ TEMEKE โ TANDIKA
๐ข MAKINI REAL ESTATE
๐ Pata makazi ya kisasa yenye usalama, utulivu na huduma bora katika eneo linalofikika kwa urahisi!
๐ SIFA ZA NYUMBA
๐๏ธ Vyumba 2 vya kulala
๐ Kimoja ni Master Bedroom
๐๏ธ Sebule ya kisasa
๐ฝ๏ธ Jiko zuri
๐ป Public Toilet
โ๏ธ Full AC
โจ๏ธ Heater ya maji ya moto
๐ Parking ya kutosha
๐ Remote Gate
โก LUKU yako
๐ง Maji ya kisima ya uhakika
๐ข Apartments 4 tu ndani ya geti moja
๐ Ipo karibu sana na Barabara Kuu pamoja na Stendi za Usafiri.
๐ฐ GHARAMA
๐ต Kodi: TZS 700,000
๐
Malipo: Miezi 3 mbele
๐ผ Malipo ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja
๐ก๏ธ SERVICE CHARGE โ TZS 100,000 kwa mwezi
Inajumuisha:
๐ถ Wi-Fi ya kasi
๐ง Bili ya maji
๐ก๏ธ Ulinzi
๐๏ธ Uondoaji wa taka
๐งน Usafi wa mazingira ya nyumba
๐ NB: Pesa ya kuangalia nyumba ni TZS 30,000.
๐ฒ Wasiliana Nasi Sasa!
๐ข MAKINI REAL ESTATE
๐ 0755 100 856 (Simu & WhatsApp)
โจ Chagua makazi yenye hadhi na ubora. Wasiliana nasi leo kabla nafasi hazijaisha!#MAKINIREALESTATE#APARTMENTTANDIKA#TEMEKENYUMBAKALI







