Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo Riverside, Dar Es Salaam








Ubungo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 750,000/month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
2
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
Apartment nzuri ya kupanga
Apartment hii ipo ubungo Riverside km 1 kutoka kituoni bodaboda 1000
Muundo wake
>>>>>>>>>>>
:: vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master bedroom
:: sebule kubwa ya kisasa
Jiko lenye makabati
:: public toilet
:: Full Ac
Apartment ipo ndani ya fance na parking ipo
Apartment inajitegemea umeme na maji
KODI 750000/= malipo ya miezi 6
📞0716408676
@dalali_kekuu @dalali_kekuu















