Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kisota, Dar Es Salaam

Maelezo
🏠 NYUMBA INAPANGISHWA – KIGAMBONI KISOTA, Dar es Salaam
✨ Sifa za nyumba:
• Vyumba 2 vya kulala
• Sebule kubwa
• Dining area
• Jiko la kisasa
• Mazingira tulivu na salama
💰 Kodi: Bei nafuu (maelezo kamili utapewa ukiwasiliana)
📆 Malipo: Miezi 6 advance
📍 Ipo Kisota, Kigamboni – eneo linalokua kwa kasi na lenye makazi mazuri sana. Kwa kawaida nyumba za aina hii hukodishwa kati ya laki 500,000 hadi 700,000 kwa mwezi kulingana na ubora na huduma
⚠️ Service Charge: TZS 30,000
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam nyumbazapangishwa















