Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Bafu
2
Barabara ya Karibu
5m
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba inapangishwa ni stand alone house bei 220 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe stendi. Nyumba ina rooms 2 vyakulala sitting room, room moja ni master bedroom, public toilet ipo pia, jiko lipo la kisasa ni nzuli sana, tiliz, madilisha vioo,, mafeni juu panga boy yapo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, paving blocks chini zpo uwani chini na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.















