Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Beach Tankvovu, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 1,000,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
House for rent (2bedroom kali sana )inajitegemea umeme na maji
Ctingroom kubwa and Dining kubwa jiko kubwa lenye makabati
Full AC
Zipp tatu kwenye fence
Mazingira mazuri sana.
Dk 2 lami
Location Mbezi Beach Tankvovu
Tsh :1,000,000/= kwa mwezi (6miezi )
Call/whatsapp,
#
#
Kuiona 30k
dalali_godwin_kawe_mbezbe_goba











