Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Sinza Madukani, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Huduma na Sifa

Sebule
Jiko
Nachoo

Maelezo

Nyumba inapangishwa ipo sinza madukani bei laki 300 000 kwa mwezi kodi miezi 6 nyumba inaroom 2 sebule jiko nachoo mazingira tulivu usalama upo wakutosha nyumba anahama mwenye nyumba biashara imenyoka
Service charge yakuona nyumba ni shi 30000 pia nakodi yamwezi 1 wadalali
Call
#0716938128_0692198834β˜ŽοΈπŸ“žcall
#0760097834_call whatsAp