Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Majohe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

NYUMBA MBILI PAMOJA-VYUMBA 8,TSHS.40 MILIONI,MAJOHE/GONGOLAMBOTO.

Vyumba ni vikubwa na ni ndani ya Fensi.
Pia kuna Kisima.

Umilikini MKATABA WA MAUZIANO.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mskv