Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Majohe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 20,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

200 SQM

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.20 MILIONI,MAJOHE VIWEGE.

Hapa ni KWA-MUSTAFA KITUONI.

Kiwanja SQM.200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Nyumba Ina vyumba 3 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

____________mskv