Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kinyerezi Darajani, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
๐กโจ NYUMBA INAUZWA โ KINYEREZI DARAJANI, DAR ES SALAAM โจ๐ก
Je, unatafuta nyumba ya kuishi au fursa nzuri ya uwekezaji? Hii ndiyo nafasi yako!
๐ Nyumba ipo Kinyerezi Darajani, karibu sana na barabara ya lami, katika eneo la katikati (center) lenye miundombinu mizuri na huduma muhimu zinazopatikana kwa urahisi.
๐ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 2 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
* Sebule
* Jiko la nje
* Choo cha nje
* Nafasi ya kujenga chumba cha tatu
* Maegesho ya gari (Parking)
โ
Nyumba hii inafaa kwa:
* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa kupangisha baada ya kufanya ukarabati mdogo
* Kubomoa na kujenga apartments za kisasa au nyumba za biashara kutokana na location yake nzuri
๐ก Kinyerezi Darajani ni eneo linalokua kwa kasi na lina uhitaji mkubwa wa nyumba za kupanga, hivyo ni fursa nzuri kwa wawekezaji wanaotafuta mapato ya muda mrefu.
๐ Nyaraka: Sales Agreement
๐ฐ Bei: TSh 58,000,000 (Fixed)
๐ Wasiliana nasi:
๐ผ Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu Dalali Wakishua Real Estate Company Ltd.
Miliki Kesho Yako Leo!!!















