Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 400,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

Apartment Inapangishwa:

Location :: MBEZI MWISHO NJIA YA GOBA DAKIKA 2 KUTOKA LAMI

Bei yake :: 400,000Tsh kwa mwezi (Miezi 6)

Muundo wa nyumba; (A)
🌡️Master kubwa
🌡️Sebule kubwa
🌡️Jiko kubwa linafungwa makabati
🌡️Choo cha wageni
🌡️Fans
🌡A/C Sebule tu

Bei yake:: 700,000 Tsh kwa mwezi (Miezi 6)
Muundo wa nyumba; (B)
■Vyumba viwili kimoja master
■Sebule kubwa
■Jiko kubwa linafungwa makabati
■Fence...Ac Sebuleni tu

▪︎Agent fee 1 month
▪︎Survey Charge 20K

#NB: MKATABA UNAANZA TAREHE 1.1.2026 KULIPIA RUKSA NDUGU MTEJA ILA KUINGIA NDIO HIYO TAREHE ZINGATIA

Contact

Call/Whatsapp;...0677370515