Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mwanzo Mgum, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 APARTMENT INAPANGISHWA – TABATA KINYEREZI MWANZO MGUM 🏠
📍 Location: Tabata Kinyerezi Mwanzo Mgum
💰 BEI: TSH 300,000/= KWA MWEZI
🛏️ Vyumba 2 — kimoja ni Master Bedroom
🛋️ Sebule nzuri na yenye nafasi
🍽️ Jiko lenye Cabinet
🚽 Public Toilet ipo ndani
⚡ LUKU unajitegemea
💧 Maji ya Kisima + DAWASCO 24 Hours
🚰 Reserve Water Tank
🌿 Mazingira mazuri, tulivu na salama
✨ Nyumba nzuri kwa familia inayotafuta sehemu nzuri ya kuishi Tabata Kinyerezi!
💵 Service Charge: TSH 20,000/= kwa ajili ya kuja kuona nyumba.
📌 Usisahau: Kodi ya mwezi mmoja ni ya @dalalibeda_tabata.
📞 Kwa maelezo zaidi: 06…















