Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,400,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Gypsum
Tiles
Luku Inajitegemea
Maji
Parking Space
Uzio

Maelezo

INAPANGISHWA
APARTMENT -
MBEZI BEACH DAR ES SALAAM
Kodi: Tsh MIL 1,400,000/= kwa mwezi
Malipo ya miezi 6
** Sifa za nyumba:
Vyumba 3 vikubwa vya kulala (kimoja ni master
Sebule kubwa na Jiko lenye makabati
Bafu la ndani na la public
• Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
• Umeme wa Luku binafsi
• Maji ya bomba saa 24
Parking space ipo
Nje imepangwa kwa Paving blocks
Nyumba imezungushiwa uzio (Fenced)
Kwa mawasiliano zaidi
Nione dalalimbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu 🙏🙏